Mbunge wa Jimbo la Maswa Magharibi (CHADEMA), Mhe John Shibuda (katikati) akikumbatiana kwa furaha na Katibu wa CCM, Ndugu Abdulrahman Kinana alipohudhuria mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya Stendi Kuu ya Mabasi ya Mwanhuzia, wilayani Meatu, Mkoa wa Simiyu.Kulia ni Katibu wa tikadi na Uenezi, Ndugu Nape Nnauye.Katika mkutano huo Mhe Shibuda alisema kuwa viongozi wa vyama vya siasa wasilumbane kwa matusi bali washindane kwa hoja.

 Mhe John Shibuda akisindikizwa na wafuasi wa chama chake cha CHADEMA kuingia kwenye mkutano wa hadhara wa CCM.
 Nape akikumbatiana na Shibuda
 Nape akikumbatiana kwa furaha na Nape
 Nape akitangaza uwepo wa Shbuda katika mkutano huo
 Wafuasi wa CCM wakishangilia wakati Shibuda akihutubia katika mkutano wa CCM
 Shibuda na Kinana wakiwatuliza mzuka wafuasi wa vyama hivyo viwili waliopagawa wakati Shibuda akihutubia
 Ndugu Kinana akimsindikiza Mhe Shibuda baada ya mkutano huo kumalizika. Kwa habari na picha zaidi BOFYA HAPA

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. itabidi kamati kuu ya chama (Chadema) imuulize alipeleka hoja gani huko, ameleta hoja gani toka ktk mkutano huo. na je? alipata ruhusa ya kamati kuu Chadema kwenda kukutana na viongozi wa CCM.....he may be a traitor.

    ReplyDelete
  2. Mhe. Shibuda alikuwa sahihi, Hajavunja sheria za nchi. Na kikubwa sisi wakulima wa pamba, pamba ndo kila kitu kuliko hata hizo harakati.

    Kama alivyoeleza alikuja kujadili na kuleta hoja za kuboresha bei ya pamba kwetu sisi wakulima Shibuda yupo sahihi sana tu.nuL

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...