Mshambuliaji wa Yanga, Hamisi Kiiza akichuana na beki wa Azam FC, Waziri Salum (kulia) katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam. Azam FC ilishinda 3-2.
Mshambuliaji wa Yanga, Didier Kavumbagu (kushoto) akioneshana ubabe na beki wa Azam Fc, Kipre Balou katika mchezo wa Ligi Kuu ya Soka Tanzania Bara uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam leo. Azam imeshinda bao 3-2.
Wachezaji wa Azam FC wakishangilia bao la tatu la timu yao.
Picha zote na Francis Dande
Picha zote na Francis Dande
Mwenzenu mie hata sielewi elewi kuhusu timu yangu yanga.Au ndio tunawavutia kasi......
ReplyDeleteKwa mwendo huu, itabidi mbinu za nje ya uwanja zianze kama ilivyozoeleka!!
ReplyDeleteYanga yanywa Juisi baridii za Azzam za Embe za Boksi ndefu!
ReplyDeleteBoksi 3 za Azzam Mango Juice.
Taaamu hizo?