Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, James Oiso (kushoto), akipeana mkono na Meneja Kiongozi, Uhusiano, Huduma kwa Wateja wa NSSF, Eunice Chiume wakati wa semina  kwa Jumuiya ya Rasilimaliwatu kuhusu hifadhi ya Jamii iliyofanyika jijini Dar es Salaam, iliyokwenda sambamba na maonesho ya kazi za mifuko ya jamii.
Meneja Uhusiano Kiongozi, Huduma kwa Wateja wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Eunice Chiume (katikati), akiwa na maofisa wa NSSF katika banda la NSSF, wakati wa semina kwa Jumuiya ya Rasilimaliwatu kuhusu hifadhi ya Jamii iliyofanyika jijini Dar es Salaam. 
 Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
 Kaimu Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, James Oiso (kushoto), akifuatili mada  katika semina hio.
Meneja Kiongozi, Uhusiano, Huduma kwa Wateja wa NSSF, Eunice Chiume akitoa maelekezo kwa mmoja wa washiriki wa semina hiyo kuhusu mafao saba ya NSSF yakiwemo yale ya Matibabu na Mikopo kwa Wanachama.
Baadhi ya wadau wakipata vipeperushi  kuhusu mafao saba ya NSSF.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...