Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi CCM Kata ya Jangwani, Mohamed Bawazir kulia akizungumza na viongozi wa CCM pamoja na wadau wa chama hicho wa kata hiyo juu ya mustakabali mzima wa kata hiyo baada ya kuongoza ndani ya kipindi cha miezi sita kushoto Katibu Wake Majala Balawa
Baadhi ya wanachama na viongozi wa CCMwakifatilia mkutano huo
Mmoja ya wanachama wa CCM wa kata ya jangwani Maaarufu  kwa jina la mlipula na Nuguze akijitambulisha kwa wanachama wenzie
wanachama wakimsikiliza mwenyekiti
Mwenyekiti wa CCM Kata ya Jangwani Mohamed Bawazir kulia akiteta jambo na Katibu Wake Majala Balawa wakati wa mkutano wa mustakabali mzima wa kata hiyo baaa ya kuongoza kwa miezi sita

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...