Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo (Mb) akisisitiza jambo alipofanya kikao kilichojumuisha mkuu wa mkoa wa Katavi Dkt. Rajab Rutengwe, mkuu wa wilaya ya Mpanda  Bw. Pazi Mwamlima, wataalamu kutoka Tanesco ikiwa ni pamoja na wadau mbalimbali wa sekta ya umeme.

Wadau mbalimbali wa sekta ya umeme wakimsikiliza kwa makini Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo

Mmoja wa wadau wa sekta ya umeme akiuliza swali katika kikao hicho.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...