Ikiwa imesalia siku moja tu kabla ya zoezi la kubomoa kwa hiari nyumba na mabanda yaliyopo kando mwa barabara Makete-Njombe eneo la makete mjini, kamera yetu imenasa picha za muonekano wa eneo la sokoni Makete mjini kama unavyoona, tayari nyumba zimebomolewa na nyingine zinaendelea kubomolewa. Picha na Edwin Moshi wa Globu ya Jamii

Tembelea libeneke lake http://www.edwinmoshi.com/

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...