MAA (MYSORE ALUMNI ASSOCIATION) inakualika katika kikao cha kuunda na kusajili chama cha wanafunzi wa zamani waliosoma Mysore kwa nia na madhumini ya kusaidiana kijamii na kiuchumi kitakachofanyika siku ya Jumamosi, tarehe 12.10.2013 Msimbazi Center kuanzia saa Tisa na nusu alasiri. Kufika kwako ndo mafanikio ya chama chetu, ukipata ujumbe huu fikisha kwa mwenzio. Ahsanteni

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ankali asante sana kwa kutuwekea tangazo letu hapa. Shukrani. WANA MYSORE TUNAWAOMBA MJITOKEZE KWA WINGI ILI KUPATA MAWAZO MENGI ZAIDI KUFANIKISHA HILI JAMBO. KARIBUNI SANA.

    ReplyDelete
  2. Nawapongeza sana kwa kuwa na mtazamo huu chanya. Bila shaka kwa uchache wenu na maarifa mliyoyapata yatakuwa chachu nzuri kwenye kuleta maendeleo kwenu, jamii inayowazunguka na Taifa kwa ujumla. Tunawatakia mkutano mwema wenye malengo chanya.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...