Mwenyekiti wa Chama cha Waajiri Tanzania (ATE),Bw. Almas Maige (katikati) akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kutangaza kuanza kwa Mchakato wa kumpata
Mwajiri Bora kwa kipindi cha Mwaka 2013.Tuzo ya Mwajiri Bora wa Mwaka (Employer of the Year Award - EYA) ni tukio ambalo limekuwa likifanywa kila mwaka na Chama hicho kwa mujibu
wa kalenda ya Chama cha Waajiri Tanzania (ATE), Tuzo imelenga
kuwezesha uwapo wa namna bora kabisa ya kusimamia raslimali
watu, kitaaluma na kimazingira kwa nia ya kuleta Tija na utendeji
bora mahala pa kazi.Wengine Pichani ni Mkurugenzi Mtendaji wa Chama hicho,Dr. Aggrey Mlimuka (kulia) na Kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano na Masoko wa ATE,Bi. Joyce Nangai.
Home
Unlabelled
Chama cha Waajiri Tanzania kutoa tuzo ya Mwajiri Bora wa Mwaka 2013
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...