Rais Jakaya Kikwete akimsalimia Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Uendelezaji wa Bonde la Mto Rufiji (RUBADA), Bw. Aloyce Masanja wakati akiwasili kuzindua Kambi ya Vijana ya Kilimo na Maarifa Mkongo wilayani Rufiji hivi karibuni. Wa tatu kushoto ni Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka hiyo, Profesa Lucian Msambichaka na Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika, Bw. Yamungu Kayandabila (kwanza kushoto).
Na Mwandishi wetu, Pwani
Rais Jakaya Kikwete amesema kambi ya vijana ya kilimo na Maarifa Mkongo iliyopo wilayani Rufiji mkoani Pwani iwe moja ya mifano hai ya kuondoa umaskini na kuwakomboa wananchi kivipato.
Rais Kikwete ametoa changamoto hiyo alipokuwa akifungua rasmi kambi hyo iliyobuniwa na Mamlaka ya Bonde la Mto Rufiji (RUBADA) hivi karibuni wilayani Rufiji.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...