Uongozi wa Kampuni ya Fedha Investment ya Jijini Dar es Salaam,ukiwa kwenye picha ya pamoja na Uongozi wa Kituo cha Kulea Watoto Yatima cha Kibaha (Kibaha Children's Village Centre),ambacho kipo chini ya Taasisi ya The EOTF Orpham Centre,inayoongozwa na Mama Anne Mkapa,mara baada ya kukabidhi msaada wao wa Sh. Milioni 1 kwenye kituo hicho,kilichopo katika kijiji cha Mwendapole,Kibaha Mkoani Pwani.
Wakurugenzi wa Kampuni ya Fedha Investment,Esta Maro (kushoto) na Devota Mtambo (pili kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Taasisi ya The EOTF Orpham Centre,Mama Anne Mkapa wakiwa kwenye picha ya pamoja na Watoto wa Kituo cha Kibaha Children's Village Centre.Aliesimama kushoto ni Dada Sia Tito.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Fedha Investment, Devota Mtambo (kushoto) akikabidhi hundi ya sh. Mil. 1 kwa Meneja wa Kituo hicho,Bw. Deogratius Mosha (aliembeba mtoto) ikiwa ni sehemu ya msaada walioutoa kwa kituo hicho.
Mwenyekiti wa Taasisi ya The EOTF Orpham Centre,Mama Anne Mkapa akishumuru Mkurugenzi wa Kampuni ya Fedha Investment, Devota Mtambo baada ya kukabidhi msaada wake kwa Kituo cha Kibaha Children's Village Centre.
Watoto wa Kituo cha Kibaha Children's Village Centre wakitoa burudani kwa Wageni wao.







Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...