Mshauri wa Biashara wa Kimataifa wa Kujitegemea wa Kampuni ya Mabibo Beer Wines and Spirits LTD , James Rugemarila (katikati) akizungumza na waandishi wa habari hawapo pichani wakati akitoa kauli kuhusu watu wanaouza Windhoek feki kujisalimisha polisi kabla sheria haijachukua mkondo wake. (wakwanza kushoto Mshauri wa Masula ya Usalama wa kampuni hiyo,anayefuatia ni mmoja wa wakugenzi wa kampuni hiyo,wapili kutoka kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabibo Beer, Benedictor Rugemarila na wa mwisho ni Mshauri wa Sheria wa kampuni hiyo, Respicius Didace.
James Rugemarila akiwaonyesha waandishi wa habari Windhoek isiyo na nembo ya Mabibo ya chupa ambayo inauzwa na watu wanayoijumu kampuni hiyo.
Waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo.
Baadhi ya Wafanyakazi wa Kampuni ya Mabibo wakiwa kwenye mkutano huo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Mabibo Beer, Benedictor Rugemarila akiwaonyesha waandishi wa habari Windhoek halisi inayosambazwa na kampuni ya Mabibo.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Monopoly monopoly. Kama zingine ni halali toka kiwandani na bei poa, wacha walete. Soko ushindani!

    ReplyDelete
  2. there is nothing proprietary about their business so I don't the reason why they should complain.If you want to control the supply chain of such business,manufacture your own brand!Set up a factory at home and become innovative by producing a better beer brand.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...