Mwenyekiti wa Kongamano la Jumuiya ya wazee wastaafu,walimu na wafanyakazi Ali Hassan Khamiss akielezea mada ya umuhimu wa historia katika nchi kushoto ni Salum Maalim Salum ni Mjumbe wa Jumuiya hiyo katika ukumbi wa Wizara ya Habari, Utamadunu, Utalii na Michezo Kikwajuni Mjini Zanzibar.
Mmoja kati ya wazee Ali Juma Chum kutoka Shehia ya Magogoni Mjini Unguja akichangia katika Kongamano la Jumuiya wazee, wastaaafu,wakulima na wafanyakazi huko ukumbi wa Wizara ya Habari Utamadunu Utalii na Michezo Kikwajuni Mjini Zanzibar.
Mmoja wa wazee Haji Seti Haji kutoka Shehiya ya Mpendae Mjini Unguja akichangia umuhimu wa historiya ya Zanzibar na utamaduni wake ulindwe na kuezniwa ili usije ukatoweka huko ukumbi wa Wizara ya Habari Utamadunu Utalii na Michezo Kikwajuni Mjini Zanzibar.
Wazee ,wastaafu ,walimu na wafanya kazi wakisikiliza maeelezo katika Kongamano la Jumuiya wazee, wastaaafu, wakulima na wafayakazi katika ukumbi wa Wizara ya Habari,Utamadunu, Utalii na Michezo Kikwajuni Mjini Zanzibar. (Picha na Miza Othmani Maelezo-Zanzibar).

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...