Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Uholanzi Nchini
Tanzania Jaap Frederiks,alipofika leo Ikulu Mjini Zanzibar kwa
madhumuni ya kusalimiana na Rais.
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Uholanzi Nchini
Tanzania Jaap Frederiks,alipofika leo Ikulu Mjini Zanzibar kwa
madhumuni ya kusalimiana na Rais.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Uholanzi Nchini
Tanzania Jaap Frederiks, alipofika leo Ikulu Mjini Zanzibar.
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Uholanzi Nchini
Tanzania Jaap Frederiks, alipofika leo Ikulu Mjini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania
Jaap Frederiks,baada ya mazungumzo yao,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar
leo.
Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania
Jaap Frederiks,baada ya mazungumzo yao,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar
leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi Mdogo wa China Nchini
Tanzania ,anayefanyia kazi zake Zanzibar Xie Yunliang,alipofika jana
Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi Mdogo wa China Nchini
Tanzania ,anayefanyia kazi zake Zanzibar Xie Yunliang,alipofika jana
Ikulu Mjini Zanzibar leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi Mdogo wa China Nchini
Tanzania,anayefanyia kazi Zanzibar Xie Yunliang, alipofika jana Ikulu
Mjini Zanzibar leo.
Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi Mdogo wa China Nchini
Tanzania,anayefanyia kazi Zanzibar Xie Yunliang, alipofika jana Ikulu
Mjini Zanzibar leo.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...