MAREHEMU BEATRICE NESTORY KAZINJA
KUZALIWA 1972 – KIFO 27/8/2013

Siku, miezi leo tarehe 27/10/2013 imetimia miezi miwili (2) tangu Mwenyezi Mungu akuite nyumbani.

Ilikuwa siku ya majonzi makuu katika familia yetu kifo kilitokea ghafla mno, ulidondoka tu wakati unajiandaa kwenda kazini na ukakata roho.

Unakumbukwa sana na familia ya Kazinja, watoto wako Ashura, Faurati, Abdul, na Mapacha Tausi na Twasin, ndugu jamaa, majirani, marafiki, wafanyakazi wenzako na wengine wote, wanakukumbuka kila mmoja kwa namna ya pekee.

Mwenyezi Mungu aendelee kuilaza roho yako mahala pema peponi, kwa watakatifu wake.

Amen.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...