Mh.Prof.Anna Tibaijuka(mb),Waziri wa Ardhi,Nyumba na maendeleo ya
Makazi, mgeni rasmi katika maadhimisho ya siku ya kimataifa ya siku ya
fimbo nyeupe ambayo kitaifa imefanyika mkoani Kagera Leo.Kushoto kwake
ni naibu waziri wa Aya na Ustawi wa Jamii,Dkt.Seif Rashid(mb) na kulia
kwake ni Mkuu wa mkoa wa Kagera,Kanali Mstaafu Fabian Massawe wakipokea
maandano ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya fimbo nyeupe.
Washiriki wa siku ya fimbo nyeupe wakipita Mbele ya mgeni rasmi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...