Naibu Mwakilishi wa Shirika la Hans Sedel Kanda ya Afrika Mashariki Konrad akimkabidhi moja ya kitabu cha Haki na ulinzi wa mtoto  Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Paul Chagonja wakati wa hafla fupi ya Makabidhiano ya nakala 10600 za vitabu vya Haki na ulinzi wa mtoto, Fahamu misingi ya amani na usalama katika familia pamoja na stika 4000 za kupambana na rushwa zilizochapishwa na shirika hilo kwa lengo la kulisaidia jeshi la Polisi katika kupambana na uhalifu jijini Dar es Salaam jana.Kulia ni Mkuu wa huduma za Polisi Jamii Naibu Kamishna Michael Kamhanda.
Naibu Mwakilishi wa Shirika la Hans Sedel Kanda ya Afrika Mashariki Konrad akimkabidhi moja ya stika za kupamba na rushwa  Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Paul Chagonja wakati wa hafla fupi ya Makabidhiano ya nakala 10600 za vitabu vya Haki na ulinzi wa mtoto, Fahamu misingi ya amani na usalama katika familia pamoja na stika 4000 za kupambana na rushwa zilizochapishwa na shirika hilo.Kulia ni Mkuu wa huduma za Polisi Jamii Naibu Kamishna Michael Kamhanda.
 Naibu Mwakilishi wa Shirika la Hans Sedel Kanda ya Afrika Mashariki Konrad Teichert akizungumza katika hafla fupi ya Makabidhiano ya nakala 10600 za vitabu vya Haki na ulinzi wa mtoto, Fahamu misingi ya amani na usalama katika familia pamoja na stika 4000 za kupambana na rushwa.Kulia ni Kamishna wa Operesheni na Mafunzo wa Jeshi la Polisi Paul Chagonja pamoja na Mkuu wa huduma za Polisi Jamii Naibu Kamishna Michael Kamhanda. (Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi) 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...