Katibu Mkuu wa CUF Maalim Seif Sharif Hamad akizungumza na wafuasi wa Chama hicho kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika viwanja vya Jadida Wete.
Mkurugenzi wa Habari na Mawasiliano ya Umma (CUF) Salim Bimani akitoa dondoo kwenye mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika viwanja vya Jadida Wete.
Naibu Katibu Mkuu wa CUF Zanzibar Hamad Massoud Hamad, akitoa dondoo kwenye mkutano wa hadhara wa chama hicho uliofanyika viwanja vya Jadida Wete.
Mfuasi wa CUF akifuatilia mkutano wa hadhara katika viwanja vya Jadida Wete, wakati Katibu Mkuu wa Chama hicho Maalim Seif Sharif Hamad akihutubia.picha na Salmin Said, OMKR

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kwa kweli abaa CUF kwa watoto wa kike wenye sura za kupendeza waongoza, bora pia ingekuwa hivyo kwa siasa safi.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...