Mwenge  wa uhuru  ukiwasili katika uwanja wa  kilele  cha mbio za mwenge kitaifa  uwanja wa Samora  ukitokea  viwanja  vya mkesha  Mwembetogwa ambako ulikesha kwa Halmashauri ya Manispaa ya  Iringa
 Viongozi  wa  serikali ya mkoa wa Iringa na  wananchi wakisubiri kupokea mwenge  kutoka Manispaa ya Iringa  leo
 Ulinzi  mkali uwanja  wa samora  leo 
 Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa Dr Christine Ishengoma kulia akipokea  mwenge  kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Iringa Dr Leticia  Warioba baada  ya Halmashauri ya Manispaa ya  Iringa kumaliza mbio  hizo kwa kuzindua miradi 8  yenye thamani ya Tsh milioni 940.2

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...