Mwenge wa uhuru ukiwasili katika uwanja wa kilele cha mbio za mwenge kitaifa uwanja wa Samora ukitokea viwanja vya mkesha Mwembetogwa ambako ulikesha kwa Halmashauri ya Manispaa ya Iringa
Viongozi wa serikali ya mkoa wa Iringa na wananchi wakisubiri kupokea mwenge kutoka Manispaa ya Iringa leo
Ulinzi mkali uwanja wa samora leo
Mkuu wa mkoa wa Iringa Dr Christine Ishengoma kulia akipokea mwenge kutoka kwa mkuu wa wilaya ya Iringa Dr Leticia Warioba baada ya Halmashauri ya Manispaa ya Iringa kumaliza mbio hizo kwa kuzindua miradi 8 yenye thamani ya Tsh milioni 940.2
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...