Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akisikiliza mawaidha kabla ya kuifunga rasmi Ijtimai ya Kimataifa iliyofanyika Sumbawanga, Mkoani Rukwa.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akizungumza na waumini wa dini ya Kiislamu, kabla ya kuifunga rasmi Ijtimai ya Kimataifa iliyofanyika Sumbawanga, Mkoani Rukwa.
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Maalim Seif Sharif Hamad, akiagana na masheikh na waislamu mbali mbali, baada ya kuifunga rasmi Ijtimai ya Kimataifa iliyofanyika Sumbawanga, Mkoani Rukwa.
Picha na Salmin Said, OMKR


Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...