Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 10 mpaka sasa

  1. mmoja ni mlemavu na mwingine ananguvu zake

    ReplyDelete
  2. Hali ya maisha ni ngumu

    ReplyDelete
  3. Aliye pembeni na aliye mbele ya DCM wote in ombaomba ila kwa staili tofauti.

    ReplyDelete
  4. Mmoja kaweka kipepsi,mwingine mlemavu anaomba na mwingine ana nguvu anajitafutia riziki bila leseni.

    ReplyDelete
  5. mmoja anoasha kioo mwingine anaomba ngawira

    ReplyDelete
  6. Huyu anayejifanya kuosha gari ni mbabaishaji tuuu. Atafute kazi ya nguvu afanye. Mwenye ulemavu aomba kwa hiari, mwasho gari aomba kwa kulazimisha.

    ReplyDelete
  7. Hapoo ni kwenye foleni ambapo waweza kukaa hadi lisaa limoja ukisubiri Trafiki aruhusu upande wenu. Hivyo wadau wanachukua muda huo kufanya mambo mengine kama uonavyo hapo juu. Siku hizi pia mataa ya Ubungo kutokea mwenge kuna Mobile Toilets kwani waweza kaa hadi masaa mawili ukisubiri Mh. trafick

    ReplyDelete
  8. Ndo hivyo kilamtu anajitafutia rizki

    ReplyDelete
  9. Khatari lakini salama.

    ReplyDelete
  10. hawa jamaa wanakuvamia na kuanza kuosha kioo. Ukikataa kuwapa hela wanakuvunjia kioo.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...