Brass Band ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) ikiongoza Matembezi ya Hisani kwa ajili ya Harambee ya Kuchangisha fedha za Ujenzi wa Shule za Sekondani za Kata katika Tarafa ya Mbagala,iliyofanyika katika Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Mt. Anthony,Mbabala jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki.Mgeni Rasmi katika Harambee hiyo ambayo iliambatana na Uzinduzi wa Mahafali ya Wanafunzi wahitimu wa Kidato cha Nne alikuwa ni Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa.ambapo zaidi ya shilingi milioni 250 zilipatikana kwenye harambee hiyo.
Mh. Lowassa akiwasalimia Wanafunzi,Walimu na Wazazi wa Watoto wanaosoma katika Shule mbali mbali za Sekondari eneo la Mbagara jijini Dar es Salaam leo.

Mbunge wa Jimbo la Kigamboni,Mh. Dkt. Faustine Ndugulile akiwahutubia Wananchi wa Mbagala pamoja na Wanafunzi wa Shule mbali mbalia zilizopo kwenye Tarafa ya Mbagala,wakati wa Harambee ya Kuchangisha fedha za Ujenzi wa Shule za Sekondani za Kata katika Tarafa ya Mbagala iliyoenda sambamba na Uzinduzi wa Mahafali ya Wanafunzi wahitimu wa Kidato cha Nne,iliyofanyika katika Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Mt. Anthony,Mbabala jijini Dar es Salaam
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akiwahutubia Wananchi wa Mbagala pamoja na Wanafunzi wa Shule mbali mbalia zilizopo kwenye Tarafa ya Mbagala,wakati wa Harambee ya Kuchangisha fedha za Ujenzi wa Shule za Sekondani za Kata katika Tarafa ya Mbagala iliyoenda sambamba na Uzinduzi wa Mahafali ya Wanafunzi wahitimu wa Kidato cha Nne,iliyofanyika katika Uwanja wa Shule ya Sekondari ya Mt. Anthony,Mbabala jijini Dar es Salaam.ambapo jumla ya Sh. Mil 250 zilipatikana kwenye harambee hiyo.
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa akisalimina na Mbumbe wa Jimbo la Ilala,Mh. Mussa Azan Zungu.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...