Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Kila raia agawiwe ardhi yake ndivyo walivyofanya Bulgaria. Watakaokuwa wavivu watauza wenyewe ardhi zao.

    ReplyDelete
  2. NA NDIVYO ILIVYO SASA MZEE HUYU ALISHALIJUA HILO MAPEMA

    ReplyDelete
  3. Ardhi iwepo kwa ajili ya wote vijana watafute fursa katika Ardhi tuondoe umasikini na kukaa bila kazi tusije tukafikia kuona watu wetu wakikimbia nchi kutafuta fursa wakati fursa kibao za kuwekeza na kuendeleza mikoa, wilaya, vijiji za wazawa ziko hapa. Tujifunze kutoka Italia vijana wengi toka Afrika wamezama na kufa maji wiki iliyopita wakitafuta fursa kwenye nchi zenye matatizo yao.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...