Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu (wa pili kulia) akishangiliwa na wafuasi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), alipokuwa akienda jukwaani kuhutubia kuelezea utekelezaji wa miradi ya maendeleo kupitia Ilani ya Uchaguzi ya CCM katika Kata ya Yombo Vituka, Dar es Salaam juzi.
Mtemvu akihutubia
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...