Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa na Mbunge wa Iramba Magharibi Mh. Mwigulu Lameck Nchemba akisisitiza Jambo katika hotuba yake aliyoitoa hapa nchini Uingereza iliyojaa mapenzi na Tanzania zaidi ya Itikadi na kupokelewa vyema na watanzania wengi 
 Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa na Mbunge wa Iramba Magharibi Mh. Mwigulu Lameck Nchemba akigawa kadi kwa mmoja wa wanachama wapya wa Leicester


 Naibu Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa na Mbunge wa Iramba Magharibi Mh. Mwigulu Lameck Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na viongozi na wanachama. Kwa habari kamili na picha zaidi:

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. katika kiswahili asilia hakuna neno AUNGURUMA , neno linalokubalika ni 'anguruma ', hii ilitokana na kuna baadhi ya makabila ambayo yalikuwa hayawezi kutamka neno 'anguruma' wakawa wanatamka 'aunguruma' mzee kifimbo yuko wapi atembeze bakora?

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...