Meneja wa NMB kanda ya Nyanda za juu , Lucresia Makiriye akimkabidhi Mganga Mkuu wa Halmashauri Wilaya ya Iringa, Raymond Kiwone , sehemu ya msaada wa vitanda vya wodi ya wazazi uliotolewa na benki ya NMB.
Maafisa wa benki ya NMB wakiwa katika picha ya pamoja na watumishi wa Halmashauri Wilaya ya Iringa baada ya makabidhiano hayo yaliyofanyika katika viwanja vya ofisi ya Halmashauri ya Iringa
Meneja wa NMB kanda ya Nyanda za juu Lucrecia Makiriye akimkabidhi Afisa Elimu wa Halmashauri Wilaya ya Iringa, Yusuph Mpwatile sehemu ya msaada wa madawati ya shule za msingi jimbo la kalenga .Msaada huo umetolewa na Benki ya NMB ili kusaidia katika juhudi za kupunguza uhaba wa madawati shuleni katika Mkoa wa Iringa.




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...