Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Mkuu wa Idara ya Afrika Mashariki na Magharibi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Uingereza Bibi Harriet Mathews,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,(katikati) ni Balozi wa Uingereza Nchini Tanzania Bibi Dianna Melrose.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na Mkuu wa Idara ya Afrika Mashariki na Magharibi katika Wizara ya Mambo ya Nje ya Uingereza Bibi Harriet Mathews,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar,leo Mchana.[Picha na Ramadhan Othman.Ikulu.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...