Huu ndiyo umati unaohudumiwa na vijana arobaini wa Redcross waliojitolea,kwa tatizo lolote,
Mwenyekiti wa Tawi la MZIZIMA branch Ilala Dr,Suphian aliyevaa kofia nyekundu katikati akitoa maelekezo kwa wanachama wa Red Cross Tanzania na Germany ya kuokoa waliozama maji,kupotea,kuumia,na mengineyo
Wanachama wa Redcross Tanzania na wa Redcross Germany wakiwa katika majukumu hapo ufukweni.
Mwenyekiti wa Mzizima branch aliyeshika kipaza sauti akihojiana na kijana aliyepotezana na jamaa zake hapo ufukweni mwenye umri wa miaka saba.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...