IMG_4313Mbunge wa Kigoma mjini na mjumbe wa halmashauri kuu ya CCM Bw.Peter Serukamba ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya miundo mbinu ya bunge ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania alipofanyiwa mahojiano katika studio za idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika hivi karibuni. 

Katika mahojiano hayo pamoja na mambo mengine alizungumzia majukumu ya kamati yake pamoja na changamoto zinazowakabili katika kutekeleza majukumu hayo ikiwa ni pamoja na urasimu, kuwapa nafasi ya wakandarasi wazawa, Millenium Challenge akaunt na mengine mengi. 

 Akijibu swali kuhusu tatizo la urasimu ameeleza kuwa e-government au serikali mtandao na mpango wa rais Kikwete wa BRN-(Big Results Now) kuwa ndio njia itakayosaidia kutatua tatizo hilo la urasimu ungana na VOA kwa kubofya hapa. Kusikiliza mahojiano hayo bofya hapa. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...