Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi (TPSF),Bw. Godfrey Simbeye akizungumza katika warsha ya kutathimini, kuongeza kasi na ubora katika Utekelezaji wa mpango wa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini jana jijini Dar es Salaam. Kulia ni Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Florens Turuka na Katibu Mkuu, Wizara ya Mambo ya Ndani, Bw. Mbarak Abudulwakil (katikati).
Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu, Dkt. Florens Turuka akizungumza katika warsha ya kutathimini, kuongeza kasi na ubora katika Utekelezaji wa mpango wa kuboresha mazingira ya biashara na uwekezaji nchini jana jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania (TPSF), Bw. Godfrey Simbeye.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...