Kikosi cha timu ya soka ya wanawake ya Tanzanite kikiwa katika picha ya pamoja,kabla ya kuanza kwa mchezo wao dhidi ya Mozambique uliopigwa jana jioni kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.Hadi mwisho wa mchezo,Tanzanite iliibuka kidedea kwa ushindi mnono wa mabao 10 - 0.
Waamuzi wa mchezo huo.
Kikosi cha Mozambique.
Raha ya ushindi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...