Rais Jakaya Kikwete akiweha saini katika kitabu cha wageni katika banda la Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa nchini (TAKUKURU) alipotembelea mabanda ya maonesho ya Wiki ya Vijana katika uwanja wa Mlandege mjini Iringa Jumatatu.
Banda la UHAMIAJI
Mama Salma Kikwete katika banda la UHURU na MZALENDO
Rais Kikwete akikaribishwa katika banda la UHURU na MZALENDO na msimamizi wa banda Bakari Mkhondo
Akiangalia picha mbalimbali za kumbukumbu ya Baba wa Taifa







Katika wooote hao mimi napendekeza zaidi Maafisa wa UHAMIAJI muimarishe Ulinzi zaidi kwa kuwa hii hali ya maisha bora TANZANIA chini ya Raisi Kikwete inafanya WIMBI KUBWA LA WAHAMIAJI HARAMU kupiga kambi na kuihsi nchini hivyo UHAMIAJI MNATAKIWA MKAZE UZI NA KUFUNGA MIKANDA SANA!!!
ReplyDelete