Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,akiwaonesha waandishi wa Habari (hawapo pichani)namba ya simu ya mshindi aliejishindia Pikipiki katika promosheni ya"Timka na Bodaboda"inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Jumla ya washindi(15)wamejishindia Pikipiki na wengine(6)wamejinyakulia shilingi Milioni moja moja.Ili kujiunga na promosheni hii TUMA NENO PROMO kwenda 15544,anaeshuhudia kushoto ni Afisa wa huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid na kulia ni Msimamizi wa bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Humudi Abdulhussein.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu akiongea na simu na mmoja wa washindi wa Pikipiki katika promosheni ya"Timka na Bodaboda"inayoendeshwa na Vodacom Tanzania,Jumla ya washindi(15)wamejishindia Pikipiki na wengine(6)wamejinyakulia shilingi Milioni moja moja.Ili kujiunga na promosheni hii TUMA NENO PROMO kwenda 15544,anaeshuhudia kushoto ni Afisa wa huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid na kulia ni Msimamizi wa bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Humudi Abdulhussein.
Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu,akisisitiza jambo kwa waandishi wa Habari (hawapo pichani)kuhusiana na umuhimu wa watanzania na wateja wa Vodacom kushiriki katika Promosheni ya "Timka na Bodaboda"ambapo,Jumla ya washindi(15)wamejishindia Pikipiki na wengine(6)wamejinyakulia shilingi Milioni moja moja.Ili kujiunga na promosheni hii TUMA NENO PROMO kwenda 15544,Wengine kushoto ni Afisa wa huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid na kulia ni Msimamizi wa bodi ya Michezo ya kubahatisha nchini,Bw.Humudi Abdulhussein.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Naona Mzee Humudi Abdulhussein anawakilisha jamaa nimemaliza naye master mzumbe yupo smart sana na he got brain keep it bro

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...