Juu na chini ni Waziri wa fedha na Uchumi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. William Mgimwa akilakiwa na Balozi wa Tanzania nchini Marekani na Mexico, Mhe. Liberata Mulamula mara tu alipowasili leo Jumamosi Oktoba 5, 2013 kwenye uwanja wa ndege wa kimataifa wa Dulles uliopo Sterling, Virginia. Mhe. Mgimwa anaongoza ujumbe wa Tanzania kuhudhuria mikutano ya mwaka ya Benki ya Dunia inayoanza Jumatatu Oktoba 7, hadi 12, 2013 jijini Washington, DC
Home
Unlabelled
WAZIRI WA FEDHA DKT WILLIAM MGIMWA AWASILI WASHINGTON DC
Subscribe to:
Post Comments (Atom)




Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...