Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania Bw.Matina Nkurlu(kulia)akimfungia kamba ya kofia ngumu”Helment”Mshindi wa Promosheni ya “Timka na BodaBoda mkazi wa Morogoro Yusuph Ismail(kushoto) baada ya kumkabidhi pikipiki yake leo.Jumla ya washindi(80)wamejishindia Bodaboda na(47)wamejinyakulia fedha taslimu.Ili kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo kwenda 15544.
 Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu(kulia)akimukabidhi funguo ya pikipiki mkazi wa Morogoro,Bw.Yusuph Ismair aliejishindia katika Promosheni ya “Timka na BodaBoda”inayoendeshwa na kampuni hiyo,wakati wa kuchesha droo ya Promosheni hiyo.Jumla ya washindi(80)waliojishindia Bodaboda na(47)wamejinyakulia fedha taslimu.Ili kujiunga na Promosheni hiyo tuma neno Promo kwenda 15544. Kushoto ni  Afisa huduma za ziada wa kampuni hiyo Rashid Maggid.
Msimamizi wa bodi ya michezo ya kubahatisha Humudi Abdulhussein(kulia)pamoja na Afisa huduma za ziada wa Vodacom Rashid Maggid(katikati)wakioneshwa namba ya simu na  Meneja Uhusiano wa Umma wa Vodacom Tanzania,Bw.Matina Nkurlu(kulia)wakati wakichezesha droo ya “Timka na BodaBoda”washindi 80 wamejishindia pikipiki katika Promosheni hiyo,ili kujiunga na promosheni hiyo mteja anatakiwa kutuma neno Promo kwenda 15544.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...