Mkurugenzi wa Benki ya CRDB tawi la Mlimani City, Allen Killango (kulia), akimuonesha Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina  Sinza, Dk. Benedict Luoga, mabenchi yaliyotolewa na benki ya CRDB tawi la Mlimani City kwa ajili ya kupumzikia wagonjwa wanaofika katika hospitali hiyo.
 Mganga Mkuu wa Hospitali ya Palestina  Sinza, Dk.  Benedict Luoga akiangalia mabenchi yaliyotolewa na Benki ya CRDB tawi la Mlimani City. 
Sehemu ya msaada wa mabenchi yaliyotolewa na Benki ya CRDB. 

BOFYA HAPA KWA PICHA ZAIDI

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...