Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Kamishna wa Polisi Zanzibar Mussa Ali Mussa,alipowasili Mchangamdogo kukifungua Kituo cha Polisi,akiwa katika ziara Mkoa wa Kaskazini Pemba.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akikata utepe kama ishara ya Ufunguzi wa kituo cha Polisi Mchangamdogo , akiwa katika ziara Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na wananchi na Jeshi Polisi katika Kituo cha Polisi Mchangamdogo Wilaya ya Wete,baada ya kikufungua rasmi akiwa katika ziara Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.
Baadhi ya wananchi wa Shehia ya Mchangamdogo Kaskazini pemba wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(hayupo pichani) alipokuwa akizungumza na wananchi hao baada ya kukifungua Kituo cha Polisi katika shehia hiyo leo, akiwa katika ziara Mkoa wa Kaskazini Pemba leo.[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...