Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi akizungumza na wanafunzi wa Vyuo Vikuu wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Morogoro. Waziri Nchimbi aliwasikiliza maoni yao pamoja na maswali ambayo yalilenga kuimarisha chama chao mkoani humo. Kikao hicho kilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Mount Uluguru mjini Morogoro.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (Watatu kulia-waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Vyuo Vikuu wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Morogoro. Waziri Nchimbi aliyasikiliza maoni pamoja na maswali yao ambayo yalilenga kuimarisha chama chao mkoani humo. Kikao cha kuimarisha chama chao kilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Mount Uluguru mjini Morogoro. Picha zote na Felix Mwagara.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...