Mjumbe
wa Kamati Kuu ya CCM, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi akizungumza
na wanafunzi wa Vyuo Vikuu wa Umoja wa Vijana Mkoa wa Morogoro. Waziri Nchimbi
aliwasikiliza maoni yao pamoja na maswali ambayo yalilenga kuimarisha chama
chao mkoani humo. Kikao hicho kilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli
ya Mount Uluguru mjini Morogoro.
Mjumbe wa Kamati Kuu ya
CCM, Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi (Watatu
kulia-waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wa Vyuo Vikuu wa
Umoja wa Vijana Mkoa wa Morogoro. Waziri Nchimbi aliyasikiliza maoni pamoja na
maswali yao ambayo yalilenga kuimarisha chama chao mkoani humo. Kikao cha
kuimarisha chama chao kilifanyika katika Ukumbi wa Mikutano wa Hoteli ya Mount
Uluguru mjini Morogoro. Picha zote na
Felix Mwagara.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...