Pichani kulia ni Mkuu wa MKoa wa Mbeya,Mh.Abbas Kandoro akimkaribisha Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana,mara baada ya kuwasili mapema leo asubuhi kwenye Ofisi ya CCM Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya..Ndugu Kinana na ujumbe wake yuko ziarani mkoani humo kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM,kusikiliza kero za Wananchi na namna ya kuzipatia ufumbuzi.
Pichani kulia ni Mkuu wa MKoa wa Mbeya,Mh.Abbas Kandoro akisalimiana na Katibu wa NEC,Siasa  na Uhusiano wa Kimataifa,Dkt.Rose Migiro akiwa sambamba na Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye,mara baada ya kuwasili mapema leo asubuhi kwenye Ofisi ya CCM Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya..Ndugu Kinana na ujumbe wake yuko ziarani mkoani humo kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM,kusikiliza kero za Wananchi na namna ya kuzipatia ufumbuzi.

Ndugu Kinana akizungumza na Wajumbe Wajumbe wa Halmashauri kuu ya Wilaya ya Mbozi mapema leo asubuhi,ndani ya ofisi za CCM Wilaya ya Mbozi,mkoani Mbeya.

Pichani ni baadhi ya Wanachama wa CCM na Wananchi wakiupokea ujumbe wa Katibu Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana walipowasili mapema leo asubuhi kwenye Ofisi ya CCM Wilaya ya Mbozi.Ndugu Kinana na ujumbe wake yuko ziarani mkoani Mbeya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM,kusikiliza kero za Wananchi na namna ya kuzipatia ufumbuzi.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...