Pichani
kulia ni Mkuu wa MKoa wa Mbeya,Mh.Abbas Kandoro akimkaribisha Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana,mara baada ya kuwasili mapema leo
asubuhi kwenye Ofisi ya CCM Wilaya ya Mbozi mkoani Mbeya..Ndugu Kinana
na ujumbe wake yuko ziarani mkoani humo kukagua utekelezaji wa Ilani ya
CCM,kusikiliza kero za Wananchi na namna ya kuzipatia ufumbuzi.
Pichani
kulia ni Mkuu wa MKoa wa Mbeya,Mh.Abbas Kandoro akisalimiana na Katibu
wa NEC,Siasa na Uhusiano wa Kimataifa,Dkt.Rose Migiro akiwa sambamba na
Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye,mara baada ya kuwasili
mapema leo asubuhi kwenye Ofisi ya CCM Wilaya ya Mbozi mkoani
Mbeya..Ndugu Kinana na ujumbe wake yuko ziarani mkoani humo kukagua
utekelezaji wa Ilani ya CCM,kusikiliza kero za Wananchi na namna ya
kuzipatia ufumbuzi.
Ndugu
Kinana akizungumza na Wajumbe Wajumbe wa Halmashauri kuu ya Wilaya ya
Mbozi mapema leo asubuhi,ndani ya ofisi za CCM Wilaya ya Mbozi,mkoani
Mbeya.
Pichani
ni baadhi ya Wanachama wa CCM na Wananchi wakiupokea ujumbe wa Katibu
Mkuu wa CCM,Ndugu Abdulrahman Kinana walipowasili mapema leo asubuhi
kwenye Ofisi ya CCM Wilaya ya Mbozi.Ndugu Kinana na ujumbe wake yuko
ziarani mkoani Mbeya kukagua utekelezaji wa Ilani ya CCM,kusikiliza kero
za Wananchi na namna ya kuzipatia ufumbuzi.
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...