USAHILI WA KUTAFUTA WANAMITINDO WATAKAO FANYA FASHION SHOW ILIYOANDALIWA NA INTERNATIONAL TANZANIAN FASHION STYLIST RIO PAUL AMBAYE HIVI KARIBUNI ANATARAJIWA KUZINDUA COLLECTION YAKE YA TATU YA MAVAZI , PAMOJA NA LINE YAKE YA VIATU.

 ATASINDIKIZWA NA WABUNIFU WA NDANI NA NNJE YA NCHI. FASHION NIGHT OUT 2013 DAR ES SALAAM ITAFANYIKA TAREHE 30 MWEZI NOVEMBER NA ITAKUA NI USIKU WA KUSHEREKEA TASNIA YA MITINDO TANZANIA IKILETA KARIBU WADAU MBALIMBALI WA MASUALA YA MITINDO.

USAHILI ULIFANYIKA : TAREHE JUMAMOSI YA TAREHE 16 NOVEMBER KATIKA UKUMBI WA THE TERRACE ,SLIPWAY, NA ULIJUMUISHA ZAIDI YA WANAMITINDO MIA MOJA KATI YA HAO NI KUMI NA SITA TU NDIO WALIPITA.
MAJAJI WAKIWA MAKINI KUHAKIKISHA WANAPATA WANAMITINDO BORA WATAKAOFANYA VIZURI KWENYE MAONYESHO HAYO.MAJAJI KUANZIA UPANDE WA KUSHOTO NI : STELLA ERNST WA IMAGE 360, MBUNIFU WA MAVAZI  LUCKY PETER , MFANYABIASHARA AMIR, CEO WA GONGA ENTERTAINMENT BWANA FRANK MGOYO NA DIRECTOR WA ALLURE INTERNATIONAL BIBI JACQUELINE HAIDER.
WANAMITINDO HAO WAKIENDELEA KUFANYIWA USAILI.
MMOJA WA MAJAJI WA USAILI HUO,FRANK MGOYO AKIWAPA SOMO WANAMITINDO HAO.
MMOJA WA WANAMITINDO AKIONYESHA NAMBA YAKE YA USHIRIKI.
WANAMITINDO WAKIFATILIA USAILI.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Tanzania mbali na wanamitindo, mashindano ya mamiss na matamasha ya wanamuziki, je tunafanya nini kingine? I am really tired of this!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...