Wawezeshaji wa TASAF wakiwa katika harakati ya kupata orodha ya kaya maskini wakati mwingine walilazimika kutumia vyombo vya majini ili kuzifikia. Hapa wanaoonekana ni Kikwappe, Mama Mtambalike, Dachi, Makame, Latemba na Tegemea ambao ni wawezeshaji wa kitaifa katika mpango huu wa kunusuru kaya maskini.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...