Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 3 mpaka sasa

  1. Mh Raisi tunashukiuru kwa busara zako.kukemea huko kusiishie kwa vyombo vya habari bali hata kwa baadhi ya mawaziri wetu kwani kauli zao pia ni za kuangaliwa kwa kina.Vyombo vyetu vya habari vimeshazoeleka na mara nyingi uzito wake si mkubwa sana kulingana na matamshi yanayotoka kwa mawaziri mi nadhani uwarudishe ngurdoto tena.

    ReplyDelete
  2. Ni kweli hata nami sikufurahi kuona aina ile ya uandishi.Nakili kwamba tuna taabu kubwa ktk fani nyingi hapa Tanzania,wanataaluma wengi siku hizi wamekua wepesi mno si tu waandishi na fani zingine nazo kila uchao wanatuletea vilio na fedheha tu yaani hata fikra hawana.

    ReplyDelete
  3. Wapo wapi wale watetezi wa haki za wanahabari? Au kufanya makosa kwa wahandishi kwao si tatizo! Ukweli wa mambo sekta hii ya imeingiliwa na kirusi kibaya na Serikali ikae kidete kuwaambia ukweli badala ya kuleana na kusingizia haki za kitapeli.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...