Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimtwika ndoo ya maji Bibi Asha Ahmadi kutoka katika kijiji cha Shinyanga A wakati wa hafla ya uzinduzi wa Mradi wa maji wa Nyakafuru ulofanyika katika kijiji cha Shinyanga A,Wilayani Mbogwe, Mkoani Geita leo asubuhi.
 Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimsabahi mtoto Pascal John aliyelazwa katika kituo cha afya Iboya Wilayani Mbogwe wakati  alipozindua Wodi ya akina mama leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa kuzindua rasmi mradi wa Umeme Katoro,Mkoani Geita leo.
 Picha na mdau Freddy Maro wa Ikulu

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Michuzi fanya mpango na jitihada zote Mama wa mtoto aliyeshikwa mashavu na Mh.Rais apate hiyo picha..Itakuwa kumbukumbu nzuri sana kwake na kwa mtoto ambaye atakuwa akiiona kila mara huku akiendelea kukua.Ni ombi langu mimi mdau wa blog ya jamii ninayejulikana kama Meku nikiwa huku ughaibuni kwa niaba ya Mama huyu na mwanae Paschal John.

    ReplyDelete
  2. Nasapoti mdau namba 1. Ni kweli ni kumbukumbu nzuri, Halafu Kikwete ana upendo wa dhati wanaomchukia wana lao jambo. Nakupenda rais wangu, Mungu awe nawe daima inshallah.

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...