to me
Kikundi mahiri cha KAPOTIVE Star Singers- Bukoba kitafanya uzinduzi wa album yake nzuri sana ya "Yesu ni Mwema", na utambulisho wa album nyingine kama “Nakushukuru Mungu”, “Zawadi ya Krismasi" n.k siku ya Jumapili tar. 10/11/2013 katika ukumbi wa Triple A - Arusha.
Kiingilio kitakuwa 10,000 kwa mtu mmoja (single size ticket) na 50,000 kwa watu 6 (Family size ticket). 
KAPOTIVE Star Singers-Bukoba wamejizolea umaarufu katika uimbaji mahiri, na maonesho yao makubwa ambayo yamefanyika Bukoba na Dar-es-Salaam na Mwanza yaliwavutia wengi. 

Watu wa Arusha msikose burudani ya aina yake siku ya Jumapili tar. 10/11/13 katika ukumbi wa Triple A, katikati ya jiji la Arusha. Karibu tuwaunge mkono vijana wetu.
Baadhi ya wachezaji wa Kwaya ya Kapotive Star Singers - Bukoba wakiimba nyimbo zao kwenye matamasha yao
Watu wa Arusha msikose burudani ya aina yake siku ya Jumapili tar. 10/11/13 katika ukumbi wa Triple A

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...