Mke wa  Makamu wa Raisi Mama Aisha Bilali akiongea katika  kongamano la wanawake wajasiliamali namna ya kuwainua wanawake wa Tanzania kiuchumi lililofanyika leo katika ukumbi wa Mayfair Hotel , jijini Dar-es-salaam. 

 Mwenyekiti wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Women Footprints Initiative (WOFI) Vida Nasari Mndolwa  akiongea katika  kongamano la wanawake wajasiliamali namna ya kuwainua mwanamke wa Tanzania kiuchumi lililofanyika leo katika ukumbi wa Mayfair Hotel , jijini Dar-es-salaam. 

 Kutoka kushoto ni Mke wa Waziri Mkuu  Mama Tunu Pinda  katikati ni Mke wa  Makamu wa Raisi Mama Aisha Bilali na Mwenyekiti wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Women Footprints Initiative (WOFI)  Vida Nasari Mndolwa katika  kongamano la wanawake wajasiliamali namna ya kuwainua wanawake wa Tanzania kiuchumi lililofanyika leo katika ukumbi wa Mayfair Hotel , jijini Dar-es-salaam
 
Mke wa  Makamu wa Raisi Mama Aisha Bilali akiangalia bidhaa za waajasiliamali katika  kongamano la wanawake wajasiliamali namna ya kuwainua wanawake wa Tanzania kiuchumi lililofanyika leo katika ukumbi wa Mayfair hotel , jijini Dar-es-salaam.  Kulia ni Mke wa Waziri Mkuu Mama Tunu Pinda  katikati ni  Mwenyekiti wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Women Footprints Initiative (WOFI)  Vida Nasari Mndolwa. 

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...