Mwana Fa mara tu alipowasili ofisi za VOA Washington Dc na kupokelewa na mkuu wa idhaa hiyo Dkt. Mwamoyo Hamza siku ya Ijumaa na kati kati ni Bibie Khadija Riyami na watangazaji wa idhaa (hawapo pichani ) kabla ya kuingia kwenye kipindi cha Live Talk kinachorushwa kila Ijumaa na VOA. 

Mkuu wa idhaa ya Kiswahili ya VOA Dkt. Mwamoyo Hamza (kushoto) na Mwana Fa na mwenyeji wake Dj.Rich Mwandemane
Bibie Khadija Riyami kushoto akiwa na Mwana Fa na Dj Rich wakiwa na prodyuza wa idhaa ya Kiswahili Duane Collins.
Kwa picha zaidi ungana na sundayshomari.com.
Pia msikilize Mwana FA akiwa na AY na J. Martins hapo chini na ngoma yao inayotesa sasa ya 'Bila kukunja goti
Pia msikilize Mwana FA akiwa na AY na J. Martins hapo chini na ngoma yao inayotesa sasa ya 'Bila kukunja goti
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...