Wafanyakazi na baadhi ya wageni katika siku ya maadhimisho ya saba ya siku ya mlipa kodi viwanja vya uhuru hotel mjini Moshi.
 Wafanyakazi na baadhi ya wageni katika siku ya maadhimisho ya saba ya siku ya mlipa kodi viwanja vya uhuru hotel mjini Moshi.
 Mkuu wa wilaya ya Moshi Ibrahim Msengi akitunuku cheti kwa mkurugenzi wa hosptali ya KCMC Prof Moshi Ntabaye ambao ni mshindi wa jumla kwa walipa kodi wakubwa .
 Mkurugenzi wa hosptali ya KCMC Prof Moshi Ntabaye akionesha cheti cha mshindi wa jumla kwa walipa kodi wakubwa. 
 Mkurugenzi wa hosptali ya KCMC Prof Moshi Ntabaye katika picha ya pamoja na baadhi ya watumishi wa hosptali hiyo wakiwa pamoja na cheti baada ya kutangazwa mshindi wa jumla kwa walipa kodi wakubwa .

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...