Naibu Waziri wa Fedha na Uchumi ,Mh. Janet Mbene (Kulia) akimkabidhi tuzo na cheti Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB Bw. Mark H. Wiessing baada ya benki ya NMB kuibuka mshindi kwa watoaji kodi wakubwa kwenye sekta ya huduma za kifedha, pia matawi ya NMB Mwenge na NMB Chakechake-Pemba yameshinda vyeti kama matawi yanayotoa msaada kwa walipa kodi wa wilaya ya Kinondoni na Chakechake.Tuzo hizo zimetolea katika maadhimisho ya 7 ya siku ya mlipa kodi yaliyofanyika ukumbi wa Mwalimu Nyerere jijini Dar es Salaam.

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 2 mpaka sasa

  1. Ngapi Tshs. wamelipa kila mshindi wa ulipaji kodi????? Uwazi hakuna ktk taarifa?10

    ReplyDelete
  2. Kweli kabisa mdau, kama serikali imependa kuwapa tunzo walipa kodi wangeweka wazi fedha walizolipa ili nasi tuweze kujua tuungane ktk kuwapongeza!!!!

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...