MAREHEMU
MZEE SABINUS P. KWEKA
30/12/1935 - 22/11/2004
Baba, leo umetimiza miaka tisa tokea ulipoitwa gafla Nyumbani kwetu
mbinguni kwa shinikizo la damu kweli “Ua zuri limerudi kwenye Bustani ya EDEN”
Tunakukumbuka kwa mengi sana,hasa Elimu na Ucha – Mungu wako, Nakumbuka
maneno yako “ Huyu adui Ujinga lazima mpigane naye na ukawa ukimwomba Mungu
asichukue roho yako hadi mtoto wa mwisho
amalize shule sikumbuki pia siku tuliyolala na kuamka bila ya Kusali na kwenda
Ibadani ulikuwa kiongozi mzuri wa watu kwa enzi zile za UDIWANI wako wa kata ya
Machame Mashariki na Mwenyekiti wa
Baraza la Walei NARUMU kweli ulikuwa mfano wa kuigwa, kwani ulivipiga vita vilivyo
vizuri,mwendo ukaumaliza na Imani umeilinda
Unakumbukwa sana na mimi mwanao wa kwanza JANE, watoto wako wengine
FESTO,EUGENIA,ELIZABETH,CECILIA NA THADEI.Mkeo mpendwa URSULA,dada yako wa
pekee aliyebaki SR. DEVOTHA KWEKA CDNK,WAKWE ZAKO, WAJUKUU wote pamoja na
Vitukuu,Wanaukoo wa KWEKAWANARUMU, Ndugu, Jamaa na Marafiki .
MISA YA KUMUOMBEA IMEFANYIKA LEO KWENYE KANISA LA BURKA – ARUSHA NA
MKOLANI MWANZA
RAHA
YA MILELE UMPE EE BWANA NA MWANGA WA MILELE UMWANGAZIE
APUMZIKE
KWA AMANI – “AMINA”
Toa Maoni Yako:
0 comments so far,add yours
Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...