Bondia Said Uwezo (kushoto) akipambana na Sindano Paul  wakati wa mchezo wao uliofanyika jumapili katika ukumbi wa Zulu Paradise, Pugu Kulumba, Dar es salaam uwezo alishinda kwa point mpambano huo.
Mabondia Kaminja Ramadhani kushoto na Kalama Nyilawila wakioneshana umwamba wa kutupiana makonde wakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili Kalama alishinda kwa KO ya raundi ya kwanza 
Bondia Twalibu Mchanjo kushoto akipambana na Mohamed Kashinde wakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili Mchanjo alishinda kwa KO ya raundi ya tatu katika mpambano huo uliokuwa wa kusisimua 

Bondia Shabani Kaoneka (kushoto) akipambana na Saidi Mbelwa wakati wa mpambano wao uliofanyika jumapili Mbelwa alishinda kwa KO ya raundi ya kwanza baada ya kumkalisha chini kwa konde kali.

Bondia Shabani kaoneka akiwa chini hoi huku akihesabiwa na refarii kulia ni mpinzani wake Said Mbelwa akimsubili kwa hamu hata hivyo mbambano huo ulisha hapo hapo na mbelwa kufanikiwa kushinda kwa KO ya raundi ya kwanza.
Picha na Super D

Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

Kuna Maoni 1 mpaka sasa

  1. Kuna bondia wa Kitanzania amepigwa hivi karibuni nchini ujerumani. Muangalieni hapo chini, jina lake ni Chupaki Chipindi.
    http://www.dailymotion.com/video/xuba65_2012-10-13-rodion-pastukh-vs-chupaki-chipindi_sport

    ReplyDelete

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...