Mgeni rasmi akitoa vyeti wa waliofanya vizuri ambapo Mrs Naima Malima alitunukiwa cheti kwa kujitoa kwake kuwasiadia na kuwainua wakinamama wa Mkuranga.
Miongoni mwa waliokabidhiwa vyeti alikuwa ni Bw. Gilbert Ngalima hakuwepo na alipokelewa cheti chake na Katibu wa UVCCM Wilaya ya Mkuranga Bw. Muhsin Zikatim.
 Wachamama wa UWT wakifuatilia semina ikiendelea.
wa kwanza kulia ni Mwanahamisi Geruka katibu wa UWT  Mkuranga, Mwansiti Omari Mwenyekiti wa UWT Mkuranga, Bi Janejely James ambaye ndio mgeni Rasmi  katika mafunzo kwa wanachama wa UWT Mkuranga, na wa mwisho ni Ashura Amanzi kaimu katibu wa CCM  wilaya ya mkuranga.


Michuzi Blog

Tanzanian blog operating since 2005, covering International news and Local News, including Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers.

Toa Maoni Yako:

0 comments so far,add yours

Hii ni Blog ya Watanzania popote walipo duniani kwa ajili ya kuhabarisha, kutoa/kupokea taarifa na kuelimisha mambo yote yaliyo chanya kwa Taifa letu. Tafadhali sana unapotoa maoni usichafue hali ya hewa wala usijeruhi hisia za mtu/watu. Kuwa mstaarabu...